Zuchu – Sukari Lyrics Letra:
Eti nimemlambisha
Ananiambia chombeza
Tena nikiizidisha
Ananiamba Koleza
Nikitaka kusitisha
Aniamambia Ongeza
Japo imethibitishwa
Ila itampoteza
Ikipanda ni balaa
Ikishuka ndio Hatari
Asijepata madhara
Akaitwa sanaani
Radha yake msalaha
Shira ya kizanzibari
Nami simpi miwala
Akitaka nampa