Fanya kama haujaniona
Fanya kama haujaniona
Tudeal marangona
Fanya kama haujaniona
Fanya kama haujaniona
Ka unapigo za kile
Huzini fana pia
Mi I keep it 99 plus 1 mia
Leo nasafisha njia, save me
No one wanna come here
Earth kila mchongo wanacome here utaaminia
).push({});
Naanza na mabishoo wa mjini
Kupendeza na kupiga uno ndo mnachojua nyinyi
Simu na magari mnahongwa ila mnavyovimba
Sijui mnaringia nini?
Ex wangu alinitema nilipofika chuo tu
Baadhi ya masela wakatukacha walipofika chuo tu
Sasa nyie wanachuo mkiacha hio mihogo
Mnashindia kila siku, hivi mnaringia nini?
Ila baadhi ya makonda ni wabishi
Na kuna walinzi wanaowazidi maboss kwa ubishi
Unanunua kitu kwa hela yako
Ila muuzaji anavyokuvumbia sijui anaringia nini