Rapcha – Vunga

Rapcha – Vunga Lyrics Letra:

Fanya kama haujaniona
Fanya kama haujaniona
Tudeal marangona

Fanya kama haujaniona
Fanya kama haujaniona
Ka unapigo za kile

Huzini fana pia
Mi I keep it 99 plus 1 mia
Leo nasafisha njia, save me
No one wanna come here
Earth kila mchongo wanacome here utaaminia


).push({});

Naanza na mabishoo wa mjini
Kupendeza na kupiga uno ndo mnachojua nyinyi
Simu na magari mnahongwa ila mnavyovimba 
Sijui mnaringia nini?

Ex wangu alinitema nilipofika chuo tu
Baadhi ya masela wakatukacha walipofika chuo tu
Sasa nyie wanachuo mkiacha hio mihogo 
Mnashindia kila siku, hivi mnaringia nini?

Ila baadhi ya makonda ni wabishi
Na kuna walinzi wanaowazidi maboss kwa ubishi
Unanunua kitu kwa hela yako 
Ila muuzaji anavyokuvumbia sijui anaringia nini

Search music video on youtube:

    Descubra mais sobre LyricsByLetras

    Assine agora mesmo para continuar lendo e ter acesso ao arquivo completo.

    Continue reading