Hamisa Mobetto – Madam Hero

Madam Hero – Hamisa Mobetto
Lyrics, Letra:
Mobetoo

Kila nikiamka ahsubuhiii
Napata majaribu mengii na maaduii
Na binadamu wakali kama chuii
Najiuliza niende wapii nikaombe chaii
Wanangu walee wapoze njaa (ahaaa)

Nishachoshwa na nija za panyaa
Ni tayari hata kuuza nyanyaa
Wala sitojalii huku kujulikann acha nipambanee
Nishachoshwa na nija za panyaa
Ni tayari hata kuuza nyanyaa
Wala sitojalii huku kujulikann acha nipambanee

I wanna be African number 1 fighter
I wanna be madam hero
Kama mama Samia
Madam Hero
Kama lupita nyongoo
Madam hero
Kama ivan chaka chaka
Madam Hero
Kama myriam makezaa
Aaah

Lyricsbyletras.com

Tuli dharaulika sana wanawakee
Hatuwezi chochotee
Dhamira hiyo nataka niifutee
Ata nidharirike wengi wanicheke
Hamisa sina lolote
Mimi si waoo
Acha nipambaneee

Nishachoshwa na nija za panyaa
Ni tayari hata kuuza nyanyaa
Wala sitojalii huku kujulikann acha nipambanee
Nishachoshwa na nija za panyaa
Ni tayari hata kuuza nyanyaa
Wala sitojalii huku kujulikann acha nipambanee

I wanna be African number 1 fighter
I wanna be African number 1 fighter
I wanna be madam hero
Kama mama Samia
Madam Hero
Kama lupita nyongoo
Madam hero
Kama ivan chaka chaka
Madam Hero
Kama myriam makezaa
Aaah

Nitapambana kwa ajili yanguu
Nitapambana kwa ajili yakoo
Nitapambana kwa ajili ya wote
Africa
Nitapambana kwa ajili yanguu
Nitapambana kwa ajili yakoo
Nitapambana kwa ajili ya wote
Africa
Aaaahhhh
THE END!

Search music video on youtube:

    Descubra mais sobre LyricsByLetras

    Assine agora mesmo para continuar lendo e ter acesso ao arquivo completo.

    Continue reading