Aslay – Nashangaa

Aslay – Nashangaa Lyrics Letra:
Nitunze kama moto na jicho lako maa
Sitokufanya vii utamu ukitafuna
Iweke mdomoni kila ukisema
Ghetto liwe VIP lipambe kwa mishumaa

Ongeza upole wako bae mama
Usiniudhi usije niacha mazima mama
Mwenzako chizi wa mapenzi
Usinibughudhi ukaja kupata lawama bwana

Nipe nyama ya kasa
Ukikosa papa samaki nipatie ngisi
Saa ya nini limbwata
Na nishaapa wengine hawana nafasi

Umenisafisha nilipochafuka
Walahi sikuachi
Mi ni kuku wako nalitafika
Ya nini manati?

Lyricsbyletras.com

Hivi mpenzi umenipa nini? (Nashangaa)
Na kama dawa hio dawa gani? (Nashangaa)
Mbona kupenda kwangu sio kawaida (Nashangaa)
Unanipa furaha nasahau shida (Nashangaa)

Mwanamke sura nidhamu shule
Wasione naringa siringi bure
Mi mgonjwa matibabu bure
We ndo mganga wangu njoo tupige ndeni

Alama, alama
Chunga tusije vunja kitanda
Na dada, na banda
Mvishe suti Martin Kadinda

Ongeza upole wako bae mama
Usiniudhi usije niacha mazima mama
Mwenzako chizi wa mapenzi
Usinibughudhi ukaja kupata lawama bwana

Umenisafisha nilipochafuka
Walahi sikuachi
Mi ni kuku wako nalitafika
Ya nini manati?

Hivi mpenzi umenipa nini? (Nashangaa)
Na kama dawa hio dawa gani? (Nashangaa)
Mbona kupenda kwangu sio kawaida (Nashangaa)
Unanipa furaha nasahau shida (Nashangaa)

Search music video on youtube:

    Descubra mais sobre LyricsByLetras

    Assine agora mesmo para continuar lendo e ter acesso ao arquivo completo.

    Continue reading