Alikiba – Oya Oya

Oya Oya – Alikiba Lyrics Letra:

Aah aaah aah…
Oh ayoo, ooh ayoo ayoo ooh
Eeh eeh…. Mmmmmh 
(Yogo on the Beats)

Chovya choyo
Uko ng’ari ng’ari mama
Wa majuu
Ushakukubali moyo

Nakuita eh, nakuita
Nisikie mami
Makopa makopa yanajiita
Jina lako nani?




We ni moko, limenipotosha
Nikutinge moka, tai na suti eh
We kocha kocha, hatari na nusu
Nafunganga moko, dakika buku

Kama kupenda nimedhaminia kwako
Sa oya oya
Naheshimu mapenzi kutoka kwako
Sa oya oya

Lyricsbyletras.com

Nikuoe ndo uone mama
Sa oya oya
Na ni mwendo wangu ooh
Mama ooh

Oya oya, oya oya eh
Oya oya, oya oya aah

Navimba najiona mwamba
Kwenye mboni siruhusu chongo maa yoo
Yaani kama noma na iwe noma yoo
Waonyeshe kipenzi changu cha ngama

Waite yoo, waite ite
Waite yoo, waite ite

Waite ite, waite ite ite aah
Waite oooh, waite te yoo

Nakuita eh, nakuita
Nisikie mami
Makopa makopa yanajiita
Jina lako nani?

We ni moko, limenipotosha
Nikutinge moka, tai na suti eh
We kocha kocha, hatari na nusu
Nafunganga moko, dakika buku

Kama kupenda nimedhaminia kwako
Sa oya oya
Naheshimu mapenzi kutoka kwako
Sa oya oya

Nikuoe ndo uone mama
Sa oya oya
Na ni mwendo wangu ooh
Mama ooh

Oya oya, oya oya eh
Oya oya, oya oya aah

Alikiba – Oya Oya

Search music video on youtube:

    Descubra mais sobre LyricsByLetras

    Assine agora mesmo para continuar lendo e ter acesso ao arquivo completo.

    Continue reading